Skip to content
March 20, 2023
  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram
Bunda FM

Bunda FM

Ngurumo ya jamii

Connect with Us

  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram

Tags

Afya Burudani Kimataifa Kitaifa Makala Michezo Muziki Siasa Uchumi na Biashara

Categories

  • Afya
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Muziki
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
STAFF LOGIN
  • Home
  • Malalamiko ya rushwa wakati mwingine hutokana na wananchi kutojua sheria na taratibu
  • Kitaifa

Malalamiko ya rushwa wakati mwingine hutokana na wananchi kutojua sheria na taratibu

Bundafm January 26, 2023 1 min read

Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, imesema malalamiko ya rushwa wakati mwingine hutokana na wananchi kutojua sheria na taratibu.

Akizungumza katika Mahojiano Maalum na Bunda FM , Naibu Msajili wa Mahakama  hiyo,Frank Leonard Moshi amesema kutokujua taratibu kuwafanya wananchi kudhani wanazungushwa kwa nia ya kutakiwa watoe rushwa.

Wakati huo huo, Mkaguzi wa Polisi, Adam Khalfan, amesema   Jeshi hilo limekuwa likiwashirikisha wananchi wa kawaida kutokomeza uhalifu  wilayani Bunda kupitia Polisi Jamii.

Hata vivyo, Polisi na mahakama wamewataka wananchi kutumia  Maadhimisho ya Wiki ya Sheria,kujielimisha; Kaulimbiu ya wiki ya sheria mwaka huu ni ‘Umuhimu wa utatuzi wa migogoro na kukuza UCHUMI’.

Bundafm

See author's posts

Continue Reading

Previous: Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Bunda imevuka lengo la ukusanyaji wa mapato mwaka 2022
Next: CCM Bunda Yasikitishwa Ujenzi wa choo na jengo la kufulia nguo katika kituo cha Afya Mugeta Wilayani Bunda kutokamilika kwa wakati.

Habari nyingine

1 min read
  • Kimataifa
  • Kitaifa

March 12, 2023
NECTA Yasitisha Kutangaza Shule Bora na Mwanafunzi Bora
1 min read
  • Kitaifa

NECTA Yasitisha Kutangaza Shule Bora na Mwanafunzi Bora

January 29, 2023
Matokeo kidato cha nne 2022 yatangazwa, haya hapa
1 min read
  • Kitaifa

Matokeo kidato cha nne 2022 yatangazwa, haya hapa

January 29, 2023

RATIBA YA VIPINDI VYETU

  • 05:00 - 06:00 :- Hamka na Bunda FM
  • 06:00-06:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 06:30-07:00:- Ukurasa Mpya
  • 07:00-07:10:- Taarifa ya Habari
  • 07:10-10:00:- Ukurasa Mpya
  • 10:00-13:00:- Mchaka Mchaka
  • 13:00-14:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 14:00-16:00:- Ladha Kamili
  • 16:00-18:00:- Busati la Habari
  • 18:00-18:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 18:30-19:00:- Dance Africa
  • 19:00-19:10:- Taarifa ya Habari
  • 19:10-21:00:- Dance Africa
  • 21:00-22:00:- B-Sport
  • 22:00-01:00:- Planet Love
  • 01:00-04:00:- Usiku Mnene

  • Afya (2)
  • Burudani (5)
  • Kimataifa (6)
  • Kitaifa (16)
  • Makala (4)
  • Michezo (4)
  • Muziki (1)
  • Siasa (3)
  • Uchumi na Biashara (1)

Wasiliana nasi

Bunda FM LTD, 92.1 MHz
P.O. BOX 452
BUNDA-MARA
E-mail: Ngurumoyajamii@bundafm.co.tz
PNONE NO: +255 754 279 340
+255 755 029 400
+255 717 457 216

Masafa yetu

Our major frequency is 92.1 FM, whereby we cover regions of Mara, Simiyu, Mwanza, Geita,Kagera, Shinyanga, Singida, Tabora and Katavi regions.

  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
Copyright © All rights reserved. | DarkNews by AF themes.