Skip to content
March 20, 2023
  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram
Bunda FM

Bunda FM

Ngurumo ya jamii

Connect with Us

  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram

Tags

Afya Burudani Kimataifa Kitaifa Makala Michezo Muziki Siasa Uchumi na Biashara

Categories

  • Afya
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Muziki
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
STAFF LOGIN
  • Home
  • Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Bunda imevuka lengo la ukusanyaji wa mapato mwaka 2022
  • Kitaifa
  • Siasa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Bunda imevuka lengo la ukusanyaji wa mapato mwaka 2022

Bundafm January 25, 2023 1 min read

Na Jenipher Hassan

Mkuu wa wilaya ya Bunda Joshua Nassari ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzaia (TRA) wilaya ya Bunda kwa kuvuka lengo la ukusanyaji wa mapato katika kipindi cha mwaka 2022.

Nassari ametoa pongezi hizo wakati akisoma taarifa ya utekelezwaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kipindi cha Julai hadi Disemba 2021 na Januari hadi Disemba 2022 mbele ya Mwenyekiti wa Chama hicho Wilaya ya Bunda Mayaya Abraham.

Katika kipindi Julai hadi Disemba mwaka 2021 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Wilaya ya Bunda imekusanya Tsh Bil 2.07 sawa na 110% huku ikikusanya jumla ya Tsh Bil. 4.48 kwa kipindi cha Januari hadi Disemba 2022 ambazo ni sawa na 111.8%

Bundafm

See author's posts

Continue Reading

Previous: Uchumi wa Mkoa wa Mara kupaa baada ya Maonesho ya Septemba
Next: Malalamiko ya rushwa wakati mwingine hutokana na wananchi kutojua sheria na taratibu

Habari nyingine

1 min read
  • Kimataifa
  • Kitaifa

March 12, 2023
NECTA Yasitisha Kutangaza Shule Bora na Mwanafunzi Bora
1 min read
  • Kitaifa

NECTA Yasitisha Kutangaza Shule Bora na Mwanafunzi Bora

January 29, 2023
Matokeo kidato cha nne 2022 yatangazwa, haya hapa
1 min read
  • Kitaifa

Matokeo kidato cha nne 2022 yatangazwa, haya hapa

January 29, 2023

RATIBA YA VIPINDI VYETU

  • 05:00 - 06:00 :- Hamka na Bunda FM
  • 06:00-06:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 06:30-07:00:- Ukurasa Mpya
  • 07:00-07:10:- Taarifa ya Habari
  • 07:10-10:00:- Ukurasa Mpya
  • 10:00-13:00:- Mchaka Mchaka
  • 13:00-14:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 14:00-16:00:- Ladha Kamili
  • 16:00-18:00:- Busati la Habari
  • 18:00-18:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 18:30-19:00:- Dance Africa
  • 19:00-19:10:- Taarifa ya Habari
  • 19:10-21:00:- Dance Africa
  • 21:00-22:00:- B-Sport
  • 22:00-01:00:- Planet Love
  • 01:00-04:00:- Usiku Mnene

  • Afya (2)
  • Burudani (5)
  • Kimataifa (6)
  • Kitaifa (16)
  • Makala (4)
  • Michezo (4)
  • Muziki (1)
  • Siasa (3)
  • Uchumi na Biashara (1)

Wasiliana nasi

Bunda FM LTD, 92.1 MHz
P.O. BOX 452
BUNDA-MARA
E-mail: Ngurumoyajamii@bundafm.co.tz
PNONE NO: +255 754 279 340
+255 755 029 400
+255 717 457 216

Masafa yetu

Our major frequency is 92.1 FM, whereby we cover regions of Mara, Simiyu, Mwanza, Geita,Kagera, Shinyanga, Singida, Tabora and Katavi regions.

  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
Copyright © All rights reserved. | DarkNews by AF themes.