Skip to content
March 20, 2023
  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram
Bunda FM

Bunda FM

Ngurumo ya jamii

Connect with Us

  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram

Tags

Afya Burudani Kimataifa Kitaifa Makala Michezo Muziki Siasa Uchumi na Biashara

Categories

  • Afya
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Muziki
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
STAFF LOGIN
  • Home
  • RAPA A.K.A WA AFRIKA KUSINI AMEUAWA KWA RISASI
  • Burudani
  • Kimataifa

RAPA A.K.A WA AFRIKA KUSINI AMEUAWA KWA RISASI

Bundafm February 11, 2023 1 min read

Rapa Kiernan Forbes anayefahamika kwa jina la AKA ameuawa kwa kupigwa risasi katika barabara ya Florida, Durban Afrika Kusini

Polisi wamethibitisha kuuawa kwa mwanamuziki huyo wa Afrika Kusini, mwenye umri wa miaka 35, kwa kupigwa risasi 5 nje ya ukumbi wa burudani ya usiku.

Wateja wa mkahawa wa jirani na lilipotokea tukio hilo walisema AKA alikuwa amesimama nje ya Wish alipopigwa risasi.

Garrith Jamieson, msemaji wa ALS Paramedics amesema Florida Road imefungwa baada ya tukio la risasi na watu wawili wamethibitishwa kufariki.

Rapa huyo ambaye amewahi amewahi kushirikiana na wasanii wa Tanzania @diamondplatnumz MAKE ME SING lakini na @johmakinitz ngoma inayoitwa DON’T BOTHER.

Bundafm

See author's posts

Continue Reading

Previous: Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia
Next: Next Post

Habari nyingine

1 min read
  • Kimataifa
  • Kitaifa

March 12, 2023
Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia
1 min read
  • Kimataifa

Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia

June 20, 2022
Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajadili mzozo wa DRC
1 min read
  • Kimataifa

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajadili mzozo wa DRC

June 20, 2022

RATIBA YA VIPINDI VYETU

  • 05:00 - 06:00 :- Hamka na Bunda FM
  • 06:00-06:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 06:30-07:00:- Ukurasa Mpya
  • 07:00-07:10:- Taarifa ya Habari
  • 07:10-10:00:- Ukurasa Mpya
  • 10:00-13:00:- Mchaka Mchaka
  • 13:00-14:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 14:00-16:00:- Ladha Kamili
  • 16:00-18:00:- Busati la Habari
  • 18:00-18:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 18:30-19:00:- Dance Africa
  • 19:00-19:10:- Taarifa ya Habari
  • 19:10-21:00:- Dance Africa
  • 21:00-22:00:- B-Sport
  • 22:00-01:00:- Planet Love
  • 01:00-04:00:- Usiku Mnene

  • Afya (2)
  • Burudani (5)
  • Kimataifa (6)
  • Kitaifa (16)
  • Makala (4)
  • Michezo (4)
  • Muziki (1)
  • Siasa (3)
  • Uchumi na Biashara (1)

Wasiliana nasi

Bunda FM LTD, 92.1 MHz
P.O. BOX 452
BUNDA-MARA
E-mail: Ngurumoyajamii@bundafm.co.tz
PNONE NO: +255 754 279 340
+255 755 029 400
+255 717 457 216

Masafa yetu

Our major frequency is 92.1 FM, whereby we cover regions of Mara, Simiyu, Mwanza, Geita,Kagera, Shinyanga, Singida, Tabora and Katavi regions.

  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
Copyright © All rights reserved. | DarkNews by AF themes.