Skip to content
March 20, 2023
  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram
Bunda FM

Bunda FM

Ngurumo ya jamii

Connect with Us

  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram

Tags

Afya Burudani Kimataifa Kitaifa Makala Michezo Muziki Siasa Uchumi na Biashara

Categories

  • Afya
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Muziki
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
STAFF LOGIN
  • Home
  • Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia
  • Kimataifa

Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia

Bundafm June 20, 2022 1 min read

Mamlaka ya Ubelgiji imekabidhi jino la kiongozi wa uhuru wa Congo Patrice Lumumba, kwa familia yake katika hafla iliyofanyika Brussels.

Jino hilo ni sehemu pekee ya mabaki ya mwili wake ambayo inadhaniwa kuwa bado ipo baada ya kunyongwa na kisha mwili wake kuyeyushwa kwa tindikali mwaka 1961.

Mwanasheria Mkuu, Frederic Van Leeuw aliwakabidhi familia ya Lumumba kisanduku kidogo cha rangi ya bluu kilichokuwa na jino hilo kwenye hafla hiyo iliyoonyeshwa kupitia luninga katika jumba la Egmont, Brussels.

Bundafm

See author's posts

Continue Reading

Previous: Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajadili mzozo wa DRC
Next: RAPA A.K.A WA AFRIKA KUSINI AMEUAWA KWA RISASI

Habari nyingine

1 min read
  • Kimataifa
  • Kitaifa

March 12, 2023
RAPA A.K.A WA AFRIKA KUSINI AMEUAWA KWA RISASI
1 min read
  • Burudani
  • Kimataifa

RAPA A.K.A WA AFRIKA KUSINI AMEUAWA KWA RISASI

February 11, 2023
Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajadili mzozo wa DRC
1 min read
  • Kimataifa

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajadili mzozo wa DRC

June 20, 2022

RATIBA YA VIPINDI VYETU

  • 05:00 - 06:00 :- Hamka na Bunda FM
  • 06:00-06:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 06:30-07:00:- Ukurasa Mpya
  • 07:00-07:10:- Taarifa ya Habari
  • 07:10-10:00:- Ukurasa Mpya
  • 10:00-13:00:- Mchaka Mchaka
  • 13:00-14:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 14:00-16:00:- Ladha Kamili
  • 16:00-18:00:- Busati la Habari
  • 18:00-18:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 18:30-19:00:- Dance Africa
  • 19:00-19:10:- Taarifa ya Habari
  • 19:10-21:00:- Dance Africa
  • 21:00-22:00:- B-Sport
  • 22:00-01:00:- Planet Love
  • 01:00-04:00:- Usiku Mnene

  • Afya (2)
  • Burudani (5)
  • Kimataifa (6)
  • Kitaifa (16)
  • Makala (4)
  • Michezo (4)
  • Muziki (1)
  • Siasa (3)
  • Uchumi na Biashara (1)

Wasiliana nasi

Bunda FM LTD, 92.1 MHz
P.O. BOX 452
BUNDA-MARA
E-mail: Ngurumoyajamii@bundafm.co.tz
PNONE NO: +255 754 279 340
+255 755 029 400
+255 717 457 216

Masafa yetu

Our major frequency is 92.1 FM, whereby we cover regions of Mara, Simiyu, Mwanza, Geita,Kagera, Shinyanga, Singida, Tabora and Katavi regions.

  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
Copyright © All rights reserved. | DarkNews by AF themes.