Skip to content
July 11, 2026
  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram
Bunda FM

Bunda FM

Ngurumo ya jamii

Connect with Us

  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram

Tags

Afya Burudani Kimataifa Kitaifa Makala Michezo Muziki Siasa Uchumi na Biashara

Categories

  • Afya
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Muziki
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
STAFF LOGIN
  • Home
  • Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajadili mzozo wa DRC
  • Kimataifa

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wajadili mzozo wa DRC

Bundafm June 20, 2022 1 min read

Mkutano huo unakuja wakati kumezuka mapigano makali yanayofufua uhasama wa miongo kadhaa kati ya Kinshasa na Kigali, huku DRC ikiilaumu Rwanda kutokana na kuibuka upya hivi karibuni kwa kundi la waasi la M23.

Rwanda imekanusha mara kwa mara kuwaunga mkono waasi hao huku nchi zote mbili zikilaumiana kwa kufanya mashambulizi ya kuvuka mpaka.

Ofisi ya rais wa Kenya imesema watu wa mashariki mwa DRC wameteseka kwa muda mrefu na wanaendelea kulipa gharama kubwa kupita kiasi kwa kupoteza maisha, mali na amani.

Siku ya Jumatano, Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta alitoa wito wa kutumwa mashariki mwa DRC kikosi cha kikanda ili kurejesha amani, lakini Kinshasa ilisema haitakubali kamwe ushiriki wa Rwanda katika operesheni hiyo.

Mkutano huo unakuja wakati kumezuka mapigano makali yanayofufua uhasama wa miongo kadhaa kati ya Kinshasa na Kigali, huku DRC ikiilaumu Rwanda kutokana na kuibuka upya hivi karibuni kwa kundi la waasi la M23.

Bundafm

See author's posts

Continue Reading

Previous: JESSIE J NILIPOTEA KWENYE MUZIKI BAADA YA BABU YANGU KUFARIKI
Next: Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia

Habari nyingine

Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia
1 min read
  • Kimataifa

Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia

June 20, 2022
JESSIE J NILIPOTEA KWENYE MUZIKI BAADA YA BABU YANGU KUFARIKI
1 min read
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Muziki

JESSIE J NILIPOTEA KWENYE MUZIKI BAADA YA BABU YANGU KUFARIKI

June 7, 2022
Mlipuko Wa Kipindupindu Waripotiwa Katika Gereza La Goma
1 min read
  • Kimataifa
  • Makala

Mlipuko Wa Kipindupindu Waripotiwa Katika Gereza La Goma

June 7, 2022

RATIBA YA VIPINDI VYETU

  • 05:00-06:00:- Hamka na Bunda FM
  • 06:00-07:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 07:00-07:10:- Taarifa ya Habari
  • 07:10-08:00:- Gospel Saturday
  • 08:00-09:00:- Matukio ya Week
  • 09:00-11:00:- Bahari ya Watoto
  • 11:00-13:00:- Orojo wa Pwani
  • 13:00-14:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 14:00-16:00:- Maabara ya Vijana
  • 16:00-18:00:- Asili Yetu
  • 18:00-19:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 19:00-19:10:- Taarifa ya Habari
  • 19:10-20:00:- Shamba Darasa
  • 20:00-21:00:- Flavor 921
  • 21:00-22:00:- B-Sport
  • 22:00-01:00:- Shangwe la Weekend
  • 01:00-05:00:- Usiku Mnene

  • Afya (2)
  • Burudani (4)
  • Kimataifa (4)
  • Kitaifa (9)
  • Makala (4)
  • Michezo (2)
  • Muziki (1)
  • Siasa (1)
  • Uchumi na Biashara (1)

Wasiliana nasi

Bunda FM LTD, 92.1 MHz
P.O. BOX 452
BUNDA-MARA
E-mail: Ngurumoyajamii@bundafm.co.tz
PNONE NO: +255 754 279 340
+255 755 029 400
+255 717 457 216

Masafa yetu

Our major frequency is 92.1 FM, whereby we cover regions of Mara, Simiyu, Mwanza, Geita,Kagera, Shinyanga, Singida, Tabora and Katavi regions.

  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
Copyright © All rights reserved. | DarkNews by AF themes.