Skip to content
March 20, 2023
  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram
Bunda FM

Bunda FM

Ngurumo ya jamii

Connect with Us

  • Facebook
  • Twitter
  • Linkedin
  • Youtube
  • Instagram

Tags

Afya Burudani Kimataifa Kitaifa Makala Michezo Muziki Siasa Uchumi na Biashara

Categories

  • Afya
  • Burudani
  • Kimataifa
  • Kitaifa
  • Makala
  • Michezo
  • Muziki
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
STAFF LOGIN
  • Home
  • Mlipuko Wa Kipindupindu Waripotiwa Katika Gereza La Goma
  • Kimataifa
  • Makala

Mlipuko Wa Kipindupindu Waripotiwa Katika Gereza La Goma

gasper June 7, 2022 1 min read

Mashirika ya kiraia pamoja na Madaktari wasio na mipaka MSF mkoani Kivu Kaskazini, wameripoti kuzuka kwa ugonjwa wa kipindupindu katika Gereza kuu la Goma.

Watu wawili wamefariki na wengine zaidi ya 140 wameabukizwa na sasa mashirika ya kiraia mjini Goma, yanaitaka serikali ya Kinshasa kuwahudumia wafungwa hao kama inavyotakiwa.

“Haiwezekani, wafungwa zaidi ya 3,000 kurundikana katika Gereza moja bila ya maji,” amehoji kiongozi wa kiraia John Banyene kiongozi wa kiraia katika jimbo la Kivu Kaskazini.

Madaktari wasio na mipaka wa MSF, wamethibitisha ugonjwa huo wa kipindupindu kutokea kwenye gerezani hilo na wanaahidi kutoa msaada wa afya.

“Kuna mamabukizi na tumeanza kutoa chanjo na huduma nyingine, “ amesema Jean Paul Kikwayabo kutoka Shirika la MSF.

Nalo shirika lanalojihusisha na maji mjini Goma Regideso, lakini viongozo wa serikali ya Kivu Kaskazini, wakitaka suluhu ya haraka.

 “Tunaomba Serikali,kiongozi wa Regideso hapa Kivu kaskazini na Kinshasa wafanye haraka iwazekanavyo kuleta chakula na madawa gerezani humo na wana nchi wapate Haki Zao ,” amesema Jean Baptiste Kasekwa/

Gereza kuu jijini Goma kwa sasa lina zaidi wafungwa 3,000 huku likiwa na uwezo wa kuchukua watu 150 pekee.

gasper

See author's posts

Continue Reading

Next: JESSIE J NILIPOTEA KWENYE MUZIKI BAADA YA BABU YANGU KUFARIKI

Habari nyingine

1 min read
  • Kimataifa
  • Kitaifa

March 12, 2023
RAPA A.K.A WA AFRIKA KUSINI AMEUAWA KWA RISASI
1 min read
  • Burudani
  • Kimataifa

RAPA A.K.A WA AFRIKA KUSINI AMEUAWA KWA RISASI

February 11, 2023
Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia
1 min read
  • Kimataifa

Jino la Patrice Lumumba lakabidhiwa kwa familia

June 20, 2022

RATIBA YA VIPINDI VYETU

  • 05:00 - 06:00 :- Hamka na Bunda FM
  • 06:00-06:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 06:30-07:00:- Ukurasa Mpya
  • 07:00-07:10:- Taarifa ya Habari
  • 07:10-10:00:- Ukurasa Mpya
  • 10:00-13:00:- Mchaka Mchaka
  • 13:00-14:00:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 14:00-16:00:- Ladha Kamili
  • 16:00-18:00:- Busati la Habari
  • 18:00-18:30:- Habari za Ulimwengu (DW)
  • 18:30-19:00:- Dance Africa
  • 19:00-19:10:- Taarifa ya Habari
  • 19:10-21:00:- Dance Africa
  • 21:00-22:00:- B-Sport
  • 22:00-01:00:- Planet Love
  • 01:00-04:00:- Usiku Mnene

  • Afya (2)
  • Burudani (5)
  • Kimataifa (6)
  • Kitaifa (16)
  • Makala (4)
  • Michezo (4)
  • Muziki (1)
  • Siasa (3)
  • Uchumi na Biashara (1)

Wasiliana nasi

Bunda FM LTD, 92.1 MHz
P.O. BOX 452
BUNDA-MARA
E-mail: Ngurumoyajamii@bundafm.co.tz
PNONE NO: +255 754 279 340
+255 755 029 400
+255 717 457 216

Masafa yetu

Our major frequency is 92.1 FM, whereby we cover regions of Mara, Simiyu, Mwanza, Geita,Kagera, Shinyanga, Singida, Tabora and Katavi regions.

  • Home
  • Habari Zote
  • Kitaifa
  • Kimataifa
  • Michezo
  • Siasa
  • Uchumi na Biashara
  • About us
  • Contact
Copyright © All rights reserved. | DarkNews by AF themes.